Maelezo ya Chini
b UFAFANUZI WA MANENO: Katika Biblia, mara nyingi neno “dhambi” linarejelea tendo fulani, kama vile kuiba, uzinzi, au kuua. (Kut. 20:13-15; 1 Kor. 6:18) Hata hivyo, katika baadhi ya maandiko, “dhambi” inarejelea hali ambayo tumerithi tulipozaliwa, hata ingawa bado hatujafanya tendo lolote la dhambi.