Maelezo ya Chini
a Katika vipindi mbalimbali, nchi hiyo iliitwa Nchi Huru ya Kongo, Kongo ya Ubelgiji, Kongo, Zaire, na tangu mwaka wa 1997 imekuwa ikiitwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Kwa kawaida huitwa Kongo (Kinshasa) ili kuitofautisha na nchi jirani ya Kongo (Brazzaville). Tutatumia jina Kongo katika masimulizi haya yote.