Maelezo ya Chini
a Kwa miaka mingi, Wanafunzi wa Biblia walivaa beji ya utambulisho iliyokuwa na msalaba na taji. Nembo hiyo ilikuwa kwenye ukurasa wa kwanza wa Mnara wa Mlinzi kwa miaka mingi. Kufikia miaka ya 1930, Mashahidi wa Yehova walikuwa wameacha kutumia nembo ya msalaba na taji.