Maelezo ya Chini
a Yesu “hakufanya dhambi.” (1 Petro 2:21, 22) Hivyo basi, hakubatizwa kwa sababu alipaswa kutubu bali kwa sababu alikuwa anajitoa ili kufanya mapenzi ya Mungu. Na hilo lilitia ndani kutoa uhai wake kwa ajili yetu.—Waebrania 10:7-10.