Maelezo ya Chini
c Wasomaji wengi wa Biblia wanapenda kutumia maneno “Maandiko ya Kiebrania” na “Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo.” Maneno hayo husaidia kuondoa wazo la kwamba “Agano la Kale” limepitwa na wakati na mahali pake kuchukuliwa na “Agano Jipya.”