Maelezo ya Chini
f Maandishi hayo kwa pamoja yanaitwa Apokrifa. Kulingana na Encyclopædia Britannica, “katika maandishi yanayohusiana na Biblia, [maneno hayo yanarejelea] vitabu ambavyo havijatiwa ndani ya maandiko yanayokubalika”—yaani, hayajatiwa ndani ya orodha rasmi inayokubalika ya vitabu vya Biblia.