Maelezo ya Chini
b Gerhard Steinacher alihukumiwa kifo kwa kukataa kujiunga na jeshi la Ujerumani. Katika barua yake ya kuaga, aliandika hivi: “Ningali mtoto. Nitasimama imara ikiwa tu Bwana atanipa nguvu, na ninasali anipe nguvu.” Asubuhi iliyofuata Gerhard aliuawa. Maneno yaliyoandikwa kwenye kaburi lake yalisema hivi: “Alikufa kwa sababu ya kumheshimu Mungu.”