Maelezo ya Chini
a Kadi hiyo ilitumiwa kwa ajili ya kujitambulisha tu. Maandiko hayasemi kwamba Mkristo anahitaji kibali cha kisheria ili kuzungumza na majirani wake kuhusu kweli za Biblia. Sasa, Mashahidi wa Yehova hawatafuti tena vibali au usajili wa kibinafsi.