Maelezo ya Chini
a “Ugaidi” umefafanuliwa kuwa matumizi au vitisho vya kutumia nguvu na ukatili hasa kwa raia ili kutekeleza mabadiliko ya kisiasa, kidini au kijamii. Hata hivyo, huenda watu wasikubaliane na baadhi ya mambo yanayoweza kuonwa kuwa ni ugaidi.