Maelezo ya Chini
a Dini nyingi za Kikristo zinafundisha kwamba Ufalme wa Mungu umo ndani ya mtu, au ndani ya moyo wa mtu. Kwa mfano, nchini Marekani, kanisa fulani la Baptisti (Southern Baptist Convention) lilisema kwamba Ufalme wa Mungu ni sehemu ya “utawala wa Mungu katika moyo na maisha ya mtu mmoja-mmoja.” Vivyo hivyo, katika kitabu chake Jesus of Nazareth, Papa Benedict wa 16 alisema kwamba “Ufalme wa Mungu unakuja kupitia moyo msikivu.”