Maelezo ya Chini
a Kulingana na kitabu Vine’s Expository Dictionary of Old and New Testament Words, neno la Kigiriki linalotafsiriwa “abiso” linamaanisha “kina kisichoweza kupimwa.” Tafsiri ya King James Version inatumia neno “shimo lisilo na mwisho.” Katika Biblia, neno hilo linamaanisha mahali au hali ya kufungiwa bila utendaji wowote.