Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

a Tyndale alitumia jina “Iehouah” alipotafsiri vitabu vitano vya kwanza vya Biblia. Kadiri wakati ulivyopita, lugha ya Kiingereza ilibadilika na matamshi ya jina hilo takatifu yaliboreshwa. Kwa mfano, katika mwaka wa 1612, Henry Ainsworth alitumia jina “Iehovah” katika tafsiri yake nzima ya kitabu cha Zaburi. Alipoboresha tafsiri hiyo katika mwaka wa 1639, alitumia jina “Jehovah.” Pia, watafsiri wa Biblia ya American Standard Version iliyochapishwa mwaka 1901, walitumia jina “Jehovah” mahali ambapo jina hilo takatifu lilitumiwa katika Maandiko ya Kiebrania.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki