Maelezo ya Chini
b Katika mistari iliyotajwa, tafsiri fulani zinatumia maneno “mtu wa kuwakomboa,” au “kiongozi.” Hata hivyo, katika maandishi ya awali ya Biblia ya Kiebrania, neno linalotumiwa kuwahusu waokozi linatumiwa pia mahali pengine kumrejelea Yehova Mungu kuwa Mwokozi.—Zaburi 7:10.