Maelezo ya Chini
g Biblia pia hutumia neno “ubatizo” kufafanua aina fulani ya usafi wa kisherehe, kama vile kumwagilia vyombo maji. (Marko 7:4; Waebrania 9:10) Bila shaka, aina hiyo ya ubatizo ni tofauti na kuzamishwa kabisa ndani ya maji kama Yesu na wafuasi wake walivyofanya.