Maelezo ya Chini
a Inaonekana kwamba neno la Kiebrania linalotafsiriwa “mbingu” linatokana na shina la neno linalomaanisha “iliyokwezwa,” au “iliyoinuliwa.” (Methali 25:3) Ona kitabu The New Brown, Driver, and Briggs Hebrew and English Lexicon of the Old Testament, ukurasa wa 1029.