Maelezo ya Chini
b Watu fulani wamefikiri kwamba kisa cha Petro kufunguliwa kutoka gerezani kilimaanisha kwamba Petro alikuwa na malaika mlinzi. (Matendo 12:6-16) Hata hivyo, wanafunzi waliposema “malaika [wa Petro],” huenda walifikiri kimakosa kwamba malaika aliyemwakilisha Petro ndiye aliyekuja kwao na si Petro mwenyewe.