Maelezo ya Chini
c Tofauti na kile ambacho Torati yenyewe inasema, mara nyingi mapokeo ya Kiyahudi yaliwakataza wanawake wasijifunze Torati. Kwa mfano, Mishnah inamnukuu Rabi Eliezer ben Hyrcanus akisema: “Yeyote anayemfundisha binti yake Torati anamfundisha mambo machafu.” (Sotah 3:4) Talmud ya Yerusalemu inatia ndani maneno haya: “Afadhali maneno ya Torati yaharibiwe kwa moto kuliko yafundishwe wanawake.”—Sotah 3:19a.