Maelezo ya Chini
a Erwin Schrödinger, mwanafizikia na mshindi wa Tuzo la Nobeli, aliandika kwamba sayansi “haisemi lolote kuhusu mambo . . . yanayotuhangaisha zaidi, na ya maana zaidi kwetu.” Na Albert Einstein alisema hivi: “Kupitia mambo machungu tuliyojionea tumejifunza kwamba kufikiri kuzuri hakutoshi kusuluhisha matatizo ya maisha yetu ya kijamii.”