Maelezo ya Chini
a Inawezekana kwamba neno la Kiebrania linalotafsiriwa “Wanefili” linamaanisha “Waangushaji.” Kitabu Wilson’s Old Testament Word Studies kinasema neno hilo linamaanisha “kuwaangukia watu kwa ukatili na ukandamizaji, na kuwafanya waanguke.”