Maelezo ya Chini
a Mungu aliwaambia Waisraeli hivi: “Mnapaswa kujitesa,” au “mtajitaabisha roho zenu,” wakati wa Siku ya Kufunika Dhambi. (Mambo ya Walawi 16:29, 31) Maneno hayo yanamaanisha kufunga. (Isaya 58:3) Hivyo, Biblia Habari Njema inasema hivi: “Ni lazima mfunge siku hiyo.”