Maelezo ya Chini
a Biblia inamtaja Mungu kuwa “Yule anayekaa juu ya duara ya dunia.” (Isaya 40:22) Baadhi ya vitabu vya marejeo vinakubali kwamba kuna uwezekano kwamba neno “duara” linalotajwa hapa linaweza kumaanisha tufe, ingawa si wasomi wote wanaokubaliana kuhusu jambo hilo. Vyovyote vile, Biblia haiungi mkono wazo la kwamba dunia ni tambarare.