Maelezo ya Chini
a Neno hakuwa malaika pekee ambaye Mungu alimtumia kuwasilisha ujumbe. Kwa mfano, aliwatumia malaika wengine mbali na Mwana wake mzaliwa wa kwanza, kuwapa Waisraeli wa kale Sheria yake.—Matendo 7:53; Wagalatia 3:19; Waebrania 2:2, 3.