Maelezo ya Chini
a Herodoto, mwanahistoria Mgiriki wa karne ya tano K.W.K., alisema kwamba ma’goi wa wakati huo walikuwa wa kabila fulani la Wamedi (Waajemi) ambalo lilizoea kufanya unajimu na kufasiri ndoto.
a Herodoto, mwanahistoria Mgiriki wa karne ya tano K.W.K., alisema kwamba ma’goi wa wakati huo walikuwa wa kabila fulani la Wamedi (Waajemi) ambalo lilizoea kufanya unajimu na kufasiri ndoto.