Maelezo ya Chini
a Kuhusiana na simulizi hili, kitabu kimoja kinachofafanua Biblia kinasema hivi: “Inawezekana Yosefu [mume wake Maria] alikuwa amekufa muda mrefu uliopita, hivyoYesu alimtegemeza mama yake, na kwa kuwa sasa muda wake wa kufa ulikuwa umefika mama yake angeishije?. . .Kupitia jambo hilo Yesu aliwafundisha watoto wawafariji wazazi wao waliozeeka.”—Kitabu The NIV Matthew Henry Commentary in One Volume, ukurasa 428-429.