Maelezo ya Chini
a Biblia inatumia neno “aina,” ambalo lina maana pana zaidi kuliko neno “spishi” linalotumiwa na wanasayansi. Mara nyingi, wanasayansi wanaposema kwamba mageuzi yametokeza aina mpya ya kiumbe, kwa kawaida huwa ni mabadiliko tu katika aina ileile ya kiumbe, kama neno linalotumiwa katika simulizi la Mwanzo linavyomaanisha.