Maelezo ya Chini
a Inashangaza kwamba Elifazi alifikiri yeye na marafiki wake walizungumza na Ayubu kwa upole, huenda kwa sababu walizungumza kwa sauti ya kawaida. (Ayubu 15:11) Lakini hata maneno yakizungumzwa kwa sauti ya chini yanaweza kuwa makali na yenye kuumiza.