Maelezo ya Chini
a Inaelekea kwamba tayari Maria alikuwa ameondoka wakati ambapo wale wanawake wengine walikutana na malaika aliyewaambia kuhusu kufufuliwa kwa Kristo. Kwa sababu ikiwa angekuwepo, bila shaka Maria angewajulisha Petro na Yohana kwamba alikuwa amemwona malaika aliyeeleza kwa nini mwili wa Yesu haukuwepo.—Mathayo 28:2-4; Marko 16:1-8.