Maelezo ya Chini
a Hilo halimaanishi kwamba hadithi zote za kubuniwa zinahusiana moja kwa moja na kuwasiliana na pepo. Hata hivyo, Wakristo hutumia dhamiri yao iliyozoezwa na Biblia kuepuka zoea lolote au burudani inayohusiana na roho waovu.—2 Wakorintho 6:17; Waebrania 5:14.