Maelezo ya Chini
a Jina la Mungu linapatikana mara 7,000 hivi katika hati za kale za Biblia. Katika Kiebrania, jina hilo takatifu linapatikana katika herufi nne tu, zinazoitwa Tetragramatoni. Kwa kawaida jina hilo linatamkwa “Yehova” katika Kiswahili; hata hivyo, wasomi fulani hupendelea kutumia “Yahweh.”