Maelezo ya Chini
c Ufalme wa Mungu, unaoitwa pia “ufalme wa mbinguni,” ni serikali inayotawala kutoka mbinguni. (Mathayo 10:7; Ufunuo 11:15) Mungu amemweka rasmi Kristo kuwa Mfalme wa Ufalme huo. Ufalme wa Mungu utatimiza mapenzi ya Mungu duniani. (Danieli 2:44; Mathayo 6:10) Kwa maelezo zaidi, tazama makala “Ufalme wa Mungu Ni Nini?”