Maelezo ya Chini
a Jina Yehova limetafsiriwa kutoka kwa jina la Mungu katika lugha ya Kiebrania lenye herufi nne za Tetragramatoni יהוה (YHWH). Tafsiri ya Union Version imetafsiri jina hilo kuwa “BWANA” katika mstari huu. Ili kujua mengi zaidi kuhusu Yehova na kwa nini baadhi ya tafsiri za Biblia hazitumii jina hilo, ona makala yenye kichwa “Yehova Ni Nani?”