Maelezo ya Chini
b Huenda maandiko matakatifu yaliyopatikana wakati wa Yoshua na ambayo sasa tunaweza kuyapata katika Biblia, yalitia ndani vitabu vitano vya Musa (Mwanzo, Kutoka, Mambo ya Walawi, Hesabu, na Kumbukumbu la Torati), kitabu cha Ayubu, na zaburi moja au mbili.