Maelezo ya Chini
b Mungu, ambaye jina lake ni Yehova, mara nyingi hufafanuliwa katika Biblia kuwa Mchungaji mwenye wororo. Waabudu wake wanaofananishwa na kondoo, humtegemea kwa ajili ulinzi na msaada.—Zaburi 100:3; Isaya 40:10, 11; Yeremia 31:10; Ezekieli 34:11-16.