Maelezo ya Chini
a Jina Yehova ni tafsiri ya Kiswahili ya jina la Kiebrania la Mungu, yaani, herufi hizi nne: יהוה (YHWH), zinazojulikana kama Tetragramatoni. Katika Biblia ya Union Version, jina hili limeandikwa “BWANA.” Ili kujua mengi zaidi kumhusu Yehova na sababu zinazofanya tafsiri nyingine za Biblia kutumia majina mengine badala ya hili, ona makala yenye kichwa “Yehova Ni Nani?”