Maelezo ya Chini
a Yehova ndilo jina linalotumiwa kwa kawaida katika Kiswahili kuwakilisha herufi nne za Kiebrania zinazoashiria jina la kibinafsi la Mungu. Ili ufahamu kwa nini tafsiri nyingi za Biblia zinatumia jina la cheo “Bwana” badala ya jina la kibinafsi la Mungu, ona makala yenye kichwa “Yehova Ni Nani?”