Maelezo ya Chini
a Mtaala wa shule hii hutayarishwa na kudumishwa na Idara ya Shule za Kitheokrasi, chini ya usimamizi wa Halmashauri ya Ufundishaji ya Baraza Linaloongoza la Mashahidi wa Yehova. Walimu wa idara hiyo hufundisha shule hiyo, na pia walimu wengine, kutia ndani washiriki wa Baraza Linaloongoza.