Maelezo ya Chini
a Mapema katika mwaka wa 2020, Halmashauri ya Waratibu iliidhinisha mikutano ya kutaniko ipeperushwe kupitia televisheni na redio katika maeneo fulani wakati wa janga la COVID-19. Uandalizi huo umewasaidia wale ambao hawawezi kupata mikutano katika kutaniko lao au kupitia JW Stream kwa kuwa wanaishi katika maeneo ambako huduma za Intaneti na za simu hazipatikani kwa urahisi au kwa gharama nafuu. Hata hivyo, mpango huo haujakusudiwa kwa ajili ya maeneo ambayo yanaweza kuunganisha mikutano ya kutaniko lao.