Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwe na Imani Kama ya Abrahamu!
    Mnara wa Mlinzi—2001 | Agosti 15
    • Isitoshe, kwa kutojua kwamba Sarai alikuwa ameolewa, Farao alimpa Abramu zawadi nyingi sana, hivi kwamba “alikuwa na kondoo na ng’ombe , na punda waume, na watumwa, na wajakazi, na punda wake, na ngamia.”b (Mwanzo 12:16) Ni lazima Abramu awe alichukizwa kama nini na zawadi hizo! Ingawa hali zilionekana kuwa mbaya, Yehova hakuwa amemwacha Abramu.

  • Mwe na Imani Kama ya Abrahamu!
    Mnara wa Mlinzi—2001 | Agosti 15
    • b Huenda ikawa Hagari, ambaye baadaye alikuwa suria wa Abramu, alikuwa mmojawapo wa watumishi ambao Abramu alipewa wakati huo.—Mwanzo 16:1.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki