-
“Ni Nani Ameijua Akili ya Yehova?”Mnara wa Mlinzi—2010 | Oktoba 15
-
-
Naye Yehova akaanza kujuta juu ya ule uovu aliokuwa amesema kwamba atawafanyia watu wake.”—Kut. 32:11-14.a
-
-
“Ni Nani Ameijua Akili ya Yehova?”Mnara wa Mlinzi—2010 | Oktoba 15
-
-
Kwa sababu Yehova hakuwa ameamua kabisa kuchukua hatua fulani, simulizi hilo lililoongozwa na roho ya Mungu linasema kwamba ‘alianza kujuta.’ Katika Kiebrania, maneno hayo yanaweza kumaanisha tu kwamba Yehova hakuleta msiba ambao inaelekea angeleta juu ya taifa lote.
-