Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kimbelembele Hutokeza Aibu
    Mnara wa Mlinzi—2000 | Agosti 1
    • 7. (a) Musa alishughulikaje na Kora na wafuasi wake? (b) Maasi ya Kora yalimalizwaje kwa msiba?

      7 Musa akawaambia Kora na watu wake wakusanyike kwenye hema la kukutania kesho yake asubuhi wakiwa na chetezo na uvumba. Kora na wafuasi wake hawakuruhusiwa kufukiza uvumba kwa sababu hawakuwa makuhani. Kama wangekuja na chetezo na uvumba, ingekuwa wazi kwamba watu hao bado waliona wana haki ya kuwa makuhani—hata baada ya kuwa na fursa ya kulifikiria jambo hilo usiku kucha.

  • Kimbelembele Hutokeza Aibu
    Mnara wa Mlinzi—2000 | Agosti 1
    • Hesabu 16:16

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki