Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ehudi Avunja Nira ya Mkandamizaji
    Mnara wa Mlinzi—2004 | Machi 15
    • Atoroka Bila Magumu Yoyote

      Bila kupoteza wakati akijaribu kuuchomoa upanga wake, “Ehudi akatoka nje kupitia tundu la hewa, lakini akaifunga kwa ufunguo milango ya chumba cha dari. Naye akatoka nje.

  • Ehudi Avunja Nira ya Mkandamizaji
    Mnara wa Mlinzi—2004 | Machi 15
    • Waamuzi 3:23

  • Ehudi Avunja Nira ya Mkandamizaji
    Mnara wa Mlinzi—2004 | Machi 15
    • “Tundu la hewa” ambalo Ehudi alipitia lilikuwa nini? Kitabu kimoja cha kitaalamu kinasema, “Maana kamili ya neno la Kiebrania haijulikani,” lakini “inadokezwa kwamba neno hilo linamaanisha ‘ukumbi wa kuingilia.’” Je, Ehudi aliifunga milango kwa ufunguo akiwa ndani kisha akatoka kupitia njia nyingine? Au je, aliifunga akiwa nje kwa kutumia ufunguo wa mfalme aliyekuwa mfu?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki