-
“Uendako Nitaenda”Mnara wa Mlinzi—2012 | Julai 1
-
-
Wanawake hao walipoendelea na maisha huko Bethlehemu, Ruthu alianza kufikiria jinsi ambavyo angetimiza mahitaji yake na ya Naomi pia. Alijifunza kwamba Sheria ambayo Yehova alikuwa amewapa watu wake huko Israeli ilitia ndani mpango wenye upendo kwa ajili ya maskini. Waliruhusiwa kwenda mashambani wakati wa mavuno na kuwafuata wavunaji, huku wakikusanya masalio yaliyobaki na vilevile kuvuna nafaka iliyokua kwenye ukingo wa mashamba.c—Mambo ya Walawi 19:9, 10; Kumbukumbu la Torati 24:19-21.
-
-
“Uendako Nitaenda”Mnara wa Mlinzi—2012 | Julai 1
-
-
Alimruhusu, na Ruthu akaanza kazi.—Ruthu 1:22–2:3, 7.
-
-
“Uendako Nitaenda”Mnara wa Mlinzi—2012 | Julai 1
-
-
c Ilikuwa sheria ya pekee sana, bila shaka, ilikuwa tofauti na mpango wowote ambao Ruthu alijua katika nchi yao. Zamani, katika Mashariki ya Karibu, wajane walitendewa vibaya. Kitabu kimoja cha marejezo kinasema hivi: “Baada ya kufiwa na mumewe, kwa kawaida mjane angetegemea wanawe ili kupata mahitaji; kama hakuwa na wana, huenda angejiuza awe mtumwa, angefanya ukahaba, au afe.”
-