Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Aliwatetea Watu wa Mungu
    Mnara wa Mlinzi—2011 | Oktoba 1
    • Wazia jinsi tangazo hilo lilivyowaathiri mabaki ya Wayahudi waliokuwa mbali jijini Yerusalemu. Mabaki hao waliokuwa wamerudi kutoka uhamishoni Babiloni, walikuwa wakijitahidi kujenga upya jiji hilo ambalo halikuwa na kuta za kuwalinda. Huenda Mordekai aliposikia kuhusu habari hizo mbaya aliwafikiria Wayahudi hao waliokuwa Yerusalemu, rafiki zake, na watu wake wa ukoo waliokuwa Shushani. Akiwa amefadhaika alirarua mavazi yake, akavaa magunia, akajipaka majivu kwenye kichwa chake, na kulia kwa sauti ya juu katikati ya jiji.

  • Aliwatetea Watu wa Mungu
    Mnara wa Mlinzi—2011 | Oktoba 1
    • Esta 3:12–4:1

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki