Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yehova—Mungu Aliye Hodari kwa Nguvu Zake
    Mnara wa Mlinzi—2000 | Machi 1
    • Katika nyakati za Biblia fahali wa mwitu alijulikana sana kuwa mwenye nguvu za kutisha, na Daudi alisali ili aokolewe kutokana na “kinywa cha simba, na pembe za fahali wa mwitu.”—Zaburi 22:21, NW; Ayubu 39:9-11.

      6. Fahali hufananisha nini katika Maandiko, na kwa nini? (Ona kielezi-chini.)

      6 Kwa sababu ya nguvu zake, fahali hutumiwa katika Biblia kufananisha uwezo wa Yehova.c

  • Yehova—Mungu Aliye Hodari kwa Nguvu Zake
    Mnara wa Mlinzi—2000 | Machi 1
    • c Yaelekea kwamba fahali wa mwitu anayetajwa katika Biblia ni auroch (Kilatini urus). Miaka elfu mbili iliyopita, wanyama hawa waliishi Gaul (ambayo sasa ni Ufaransa), na Juliasi Kaisari aliandika hivi juu yao: “Wanyama hao, uri, karibu watoshane na tembo, lakini tabia yao, rangi yao na umbo lao ni kama fahali. Wana nguvu nyingi sana, na wana mbio sana: hawamwachi mtu wala mnyama mara wanapowaona.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki