-
Yehova—Mungu Aliye Hodari kwa Nguvu ZakeMnara wa Mlinzi—2000 | Machi 1
-
-
Katika nyakati za Biblia fahali wa mwitu alijulikana sana kuwa mwenye nguvu za kutisha, na Daudi alisali ili aokolewe kutokana na “kinywa cha simba, na pembe za fahali wa mwitu.”—Zaburi 22:21, NW; Ayubu 39:9-11.
6. Fahali hufananisha nini katika Maandiko, na kwa nini? (Ona kielezi-chini.)
6 Kwa sababu ya nguvu zake, fahali hutumiwa katika Biblia kufananisha uwezo wa Yehova.c
-
-
Yehova—Mungu Aliye Hodari kwa Nguvu ZakeMnara wa Mlinzi—2000 | Machi 1
-
-
c Yaelekea kwamba fahali wa mwitu anayetajwa katika Biblia ni auroch (Kilatini urus). Miaka elfu mbili iliyopita, wanyama hawa waliishi Gaul (ambayo sasa ni Ufaransa), na Juliasi Kaisari aliandika hivi juu yao: “Wanyama hao, uri, karibu watoshane na tembo, lakini tabia yao, rangi yao na umbo lao ni kama fahali. Wana nguvu nyingi sana, na wana mbio sana: hawamwachi mtu wala mnyama mara wanapowaona.”
-