Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Tazameni Mtekelezaji wa Mambo ya Ajabu!
    Mnara wa Mlinzi—2001 | Aprili 15
    • “Ulikuwa wapi nilipoiweka misingi ya nchi? Haya! sema, kama ukiwa na ufahamu. Ni nani aliyeamrisha vipimo vyake, kama ukijua? Au ni nani aliyenyosha kamba juu yake?

  • Tazameni Mtekelezaji wa Mambo ya Ajabu!
    Mnara wa Mlinzi—2001 | Aprili 15
    • Ayubu 38:4-6.

      11. Twapaswa kung’amua nini kutokana na andiko la Ayubu 38:4-6?

      11 Ayubu alikuwa wapi, sisi tulikuwa wapi dunia ilipoumbwa? Je, yeyote kati yetu alichora ramani za ujenzi za dunia yetu, na kutumia ramani hiyo kupima vipimo mbalimbali kana kwamba kwa rula? Bila shaka la. Wanadamu hata hawakuwepo wakati huo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki