-
Je, Unawajali Wazazi Wasio na Wenzi wa Ndoa?Mnara wa Mlinzi—2010 | Desemba 1
-
-
Kuwajali kunachangia furaha yako. Je, umewahi kumsaidia mtu kubeba mzigo ambao ulikuwa mzito kwa mtu mmoja kuubeba peke yake? Ikiwa ndivyo, huenda ulihisi umeridhika kwa kujua kwamba umemsaidia mtu huyo. Vivyo hivyo, wazazi wasio na wenzi wa ndoa wanabeba mzigo ambao nyakati nyingine unaweza kuwa mzito mno kwa mtu kuubeba peke yake. Ikiwa utawasaidia kuubeba mzigo huo, basi utatambua ukweli wa maneno haya ya Zaburi 41:1: “Heri mtu anayewajali maskini.”—Biblia Habari Njema.
-
-
Je, Unawajali Wazazi Wasio na Wenzi wa Ndoa?Mnara wa Mlinzi—2010 | Desemba 1
-
-
Kama tulivyoona, andiko la Zaburi 41:1 linatuhimiza ‘tuwajali maskini.’ Kitabu kimoja cha marejeo kinaeleza kuwa neno la Kiebrania lilinalotumika hapa linaweza kumaanisha “hatua ya kuchanganua mawazo tata na hivyo kutenda kwa hekima.”
-