-
Mambo Makuu Katika Kitabu cha Tatu na cha Nne cha ZaburiMnara wa Mlinzi—2006 | Julai 15
-
-
Lakini, tunapaswa kuongozwa na shauri la Yehova, tukiwa na uhakika kwamba ‘ataushika mkono wetu wa kuume’ na kutusaidia. Isitoshe, Yehova ‘atatupeleka kwenye utukufu,’ yaani, tutakuwa na uhusiano wa karibu pamoja naye.
-