Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yehova Hutujulisha Jinsi ya Kuzihesabu Siku Zetu
    Mnara wa Mlinzi—2001 | Novemba 15
    • Alimwambia Mungu hivi: “Wamrudisha mtu mavumbini [“wamrudisha mwanadamu awezaye kufa kuwa kitu kilichopondwa,” “NW”], usemapo, Rudini, enyi wanadamu.

  • Yehova Hutujulisha Jinsi ya Kuzihesabu Siku Zetu
    Mnara wa Mlinzi—2001 | Novemba 15
    • Zaburi 90:3,

  • Yehova Hutujulisha Jinsi ya Kuzihesabu Siku Zetu
    Mnara wa Mlinzi—2001 | Novemba 15
    • 10. Mungu ‘humrudisha mwanadamu kuwa kitu kilichopondwa’ jinsi gani?

      10 Mwanadamu anaweza kufa, naye Mungu ‘humrudisha kuwa kitu kilichopondwa.’ Yaani, mwanadamu hurudi “mavumbini,” akiwa kama udongo uliopondwa. Ni kana kwamba Yehova anasema: ‘Rudi katika mavumbi ya ardhi ambayo katika hayo uliumbwa.’ (Mwanzo 2:7; 3:19) Jambo hilo huwapata wote—wawe wenye nguvu au dhaifu, matajiri au maskini—kwa kuwa hakuna mwanadamu asiye mkamilifu ‘awezaye kumkomboa ndugu yake, wala kumpa Mungu fidia kwa ajili yake ili aishi sikuzote.’ (Zaburi 49:6-9) Lakini tunashukuru kama nini kwamba ‘Mungu alitoa Mwana mzaliwa-pekee wake, ili kila mtu anayedhihirisha imani katika yeye awe na uhai udumuo milele’!—Yohana 3:16; Waroma 6:23.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki