Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yehova Hutujulisha Jinsi ya Kuzihesabu Siku Zetu
    Mnara wa Mlinzi—2001 | Novemba 15
    • 12. Wanadamu ‘hugharikishwaje’ na Mungu?

      12 Maisha ya mwanadamu ni mafupi sana yakilinganishwa na Mungu aishiye milele. Mtunga-zaburi anasema: “Wawagharikisha, huwa kama usingizi, asubuhi huwa kama majani [“nyasi,” “NW”] yameayo.

  • Yehova Hutujulisha Jinsi ya Kuzihesabu Siku Zetu
    Mnara wa Mlinzi—2001 | Novemba 15
    • Zaburi 90:5,

  • Yehova Hutujulisha Jinsi ya Kuzihesabu Siku Zetu
    Mnara wa Mlinzi—2001 | Novemba 15
    • Musa aliona Waisraeli wengi sana wakifa nyikani, ‘wakigharikishwa’ na Mungu kama katika gharika. Sehemu hii ya zaburi imetafsiriwa hivi: “Wawagharikisha watu katika usingizi wa kifo.” (New International Version) Kwa upande mwingine, muda ambao wanadamu wasio wakamilifu wanatarajiwa kuishi ni “kama usingizi” wa muda mfupi—kama usingizi wa usiku mmoja tu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki