-
Yehova Hutujulisha Jinsi ya Kuzihesabu Siku ZetuMnara wa Mlinzi—2001 | Novemba 15
-
-
14, 15. Andiko la Zaburi 90:7-9 lilitimizwaje kuhusiana na Waisraeli?
14 Kuhusu Mungu, mtunga-zaburi anaongeza kusema: “Maana tumetoweshwa kwa hasira yako, na kwa ghadhabu yako tumefadhaishwa.
-
-
Yehova Hutujulisha Jinsi ya Kuzihesabu Siku ZetuMnara wa Mlinzi—2001 | Novemba 15
-
-
15 Waisraeli wasio na imani ‘walitoweshwa kwa hasira ya Mungu.’ ‘Walifadhaishwa na ghadhabu yake,’ au ‘walitishwa na ghadhabu yake.’ (BHN) Baadhi yao “waliangamizwa nyikani” kutokana na hukumu za Mungu. (1 Wakorintho 10:5)
-